Deuteronomy 28:12-13

12 a Bwana atafungua mbingu, ghala zake za baraka, kukupa mvua kwa majira yake na kubariki kazi zako zote za mikono yako. Utakopesha mataifa mengi lakini hutakopa kwa yeyote. 13 b Bwana atakufanya kichwa, wala si mkia. Kama utazingatia maagizo ya Bwana Mwenyezi Mungu wako ninayokupa siku hii ya leo na kuyafuata kwa bidii, daima utakuwa juu, kamwe hutakuwa chini.
Copyright information for SwhKC